Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
22 - ذو الحجة - 1444 هـ
10 - 07 - 2023 مـ
09:33 صباحًا
(Kulingana Na Taqwimu Rasmi Ya Umul Qura)
(بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى)
____


كَوكَبُ سَقَر اقتربَ مِن نُقطَةِ الحَضيضِ في القُبَّةِ السماويَّةِ بين السَّماءِ والأرضِ ..
Sayari ya Saqr imekaribia sehemu katika nukta ya chini ya mwamba ya Nguzo ya kuba la anga kati ya mbingu na dunia.


Bismillah Al’Wahid Al’Qahar, Wallahu Akbar Na Mwenyezi Mungu ni mkubwa ju ya yeyote anayekataa na anajivuna juu ya mlinganiaji wa Mungu na khalifa wake juu ya ulimwengu wote (Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani).


Basi nikawaonya wanaadamu wote miaka kumi na tisa iliyopita wamche Mwenyezi Mungu, Mmoja, Muweza wa yote, na wamwabudu Mwenyezi Mungu, Peke Yake, hana mshirika (Mola wangu na Mola wao) kwa utambuzi kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Al’Quran Al3adhim). walifanya kiburi (Mabwana na wakubwa wa viongozi wa Waarabu na wasiokuwa Waarabu na watu wao) na walizidisha tu, chuki, kiburi, na kujighuri. Na Katika kipindi cha miaka kumi na tisa ya Mahdi wa kimataifa wito wa mchana na usiku katika lugha mbalimbali za walimwengu, viongozi wa nchi za Kiarabu na nchi zote zisizo za Kiarabu hawakumpa Khalifa wa Mungu uzani kwa kiburi na kujighuri. Basi nikawausia watu wa walimwengu katika muda wa miaka kumi na tisa wamwabudu Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi, na Mola wao Mlezi Pekee, hana mshirika, na wamtii Mwenyezi Mungu na Khalifa wake, na nikawaonya walimwengu juu ya kupita sayari. Saqar kutoka uelekeo wa ncha ya kusini ya sayari ya Dunia pamoja na elimu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ndani ya muhkam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim, Na nimekuwa nikiwaonya wanadamu katika jangwa na maeneo ya mijini tangu miaka kumi na tisa Hijiria (tangu mwezi wa Muharram wa mwaka 1426 Hijria / unaolingana na mwaka wa 2005) wajihadhari na adhabu kubwa ya Mwenyezi Mungu kutokana na kupita sayari ya Saqar, inayokuja kutoka upande wa nguzo (kaskazini na ile ya kusini) na inakaribia katika nukta ya chini ya mwamba ya Nguzo ya kuba ya mbingu pembezoni mwa nguzo ya kusini. Na tuliwahadharisha walimwengu miaka kumi na tisa iliyopita kwamba sayari ya Saqar inaokuja kutoka kwenye umbo la anga ya kaskazini itakaribia pembezoni mwake kutoka kwenye ncha ya anga ya kusini, na itaficha (mawio yake) upeo wa kusini wa sayari ya Dunia kutoka. Kupita sehemu ya kusini ya nchi kavu na kujumuisha Antaktika kuelekea magharibi ya mbali na mashariki ya mbali kwa umbo la duara, na kuficha sehemu ya kusini ya anga;Na tokeo la Kupatwa kukubwa kwa mbinguni kutatokea kutoka mashariki ya mbali hadi magharibi ya mbali. Kuanzia kupatwa kwa mbinguni kutoka kwenye upeo wa kusini wa kuba nyanja ya mbinguni (kusini mwa sayari ya Dunia), Na itasababisha kupatwa kukubwa kwa mbinguni, na kuficha mbingu kutoka kwenye ardhi kutoka pande nne za sayari ya dunia kutoka kusini, mashariki na magharibi Na inarudi kule ilikotoka katika vilindi vya anga ya kaskazini, (neno la mwisho na lisilo la mzaha), na itanyesha mvua kwenye SAYARI ya ardhi (Mawe tete kutoka kwa moto unaowaka umelekezwa kutoka kwa Mola wenu Mlezi kwa wahalifu), Na usiku unatangulia mchana, na jua linachomoza magharibi na kuzama katika mashariki, na sisi ni wakweli.


Enyi umma wa wanadamu, je, mnajua kwamba habari ya sayari ya Saqar kupita juu ya upeo wa anga ya mbingu ya kusini mwa ardhi kwa wanadamu, Mwenyezi Mungu alitoa habari ya kupita kwake katika muhakam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim? Bali, alitoa khabari zisizoepukika katika mojawapo ya Aya zilizo wazi za Mama wa Kitabu kwa wanachuoni wa Waislamu na umma wote kwa ujumla, na kwa kila mwenye lugha ya Kiarabu iliyo wazi. Pamoja na hayo, Waislamu walitengeneza sikio lililoziba kwa udongo na sikio moja lililoziba unga, hivyo wakageuka kwa kiburi kana kwamba hawakuisikia.


Pengine wajinga na wenye kiburi miongoni mwa Waislamu wangetaka kusema: “Ewe Nasser Muhammad Al-Yamani, wewe unayedai kuwa ni khalifa wa Mungu juu ya walimwengu, umejadiliana nasi na ukazidisha mjadala sana kuhusu kupita sayari ya Saqar (huku ukionya na kuonya kuvuka kwa Sayari ya Saqr) Tangu miaka kumi na tisa ya Hijria umekuwa ukiwaonya wanadamu! basi tuletee unayotuahidi ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli. Kisha Khalifa wa Mwenyezi Mungu katika ulimwengu wote anakujibuni, na nasema: Hakika Mwenyezi Mungu anakuleteni, Basi imekua katika kwenye ukingo wa kuba ya mbingu, FaWallahi Wa Tallahi Wa Billahi Al’3adhim, kwamba mumeingia katika majira ya joto ya sayari ya Saqar hivi sasa Ambao joto kwa kuba ya anga ya mbingu (kuanzia majira yenu haya ya kiangazi kwa mwaka wa 44/45),
Na tunawabariki walimwengu wanaojitenga na Al’Quran Al3adhim kwa yale watakayoyaona katika mwaka wao mpya wa mwandamo wa 1445 Hijria unaolingana na 2023.


Na ninaomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu kwa kuichafua bayana ya Haki ya Qur-aan kwa kutaja historia yenu ya Hijri na miladi iliyochanganywa na kanuni za hesabu katika Kitabu, kwa sababu hesabu ni idadi ya miaka, na hisabu katika Al’Quran Al3adhim kwa undani. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ آيَتَيْنِ ۖ فَمَحَوْنَا آيَةَ اللَّيْلِ وَجَعَلْنَا آيَةَ النَّهَارِ مُبْصِرَةً لِّتَبْتَغُوا فَضْلًا مِّن رَّبِّكُمْ وَلِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ وَكُلَّ شَيْءٍ فَصَّلْنَاهُ تَفْصِيلًا ‎﴿١٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Alisra-12].


Kwakua ya kwamba Mwenyezi Mungu aliiteremsha Qur’an akijua kwamba ardhi inajizunguka pande zote katika sehemu themanini na sita elfu na mia nne, nayo ni sawa kabisa: Sekunde 86400 kwa usahihi haswa) ambayo ni sawa na saa 24 zenu zilo mkononi mwenu, Idadi ya miaka katika kitabu ilitokana na hesabu ya mzunguko wa dunia kuzunguka yenyewe na si kuzunguka mhimili wake kama wazushi wanavyodai. FaWallahi Wa Tallahi Hawawezi kugawanya miaka ya mwaka wa Miladi au mwaka wa Hijri kama watasubiri miaka elfu moja ili kujaribu kurekebisha tarehe ya Hijri au Miladi, kwani zote mbili zina makosa juu ya makosa. Lakini mimi ni Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, natangaza changamoto ya idadi ya miaka na hesabu kwa usahihi unokosekana kutokana na makosa, kwa sababu hesabu ya idadi ya miaka katika Kitabu ilitokana na kuzunguka kwa dunia ili kutumia siku zenu (masaa 24), Na kwa kuuona mwandamo wa mwezi kwa macho tangu Mwenyezi Mungu alipoumba mbingu na ardhi. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ مَا خَلَقَ اللَّهُ ذَٰلِكَ إِلَّا بِالْحَقِّ ۚ يُفَصِّلُ الْآيَاتِ لِقَوْمٍ يَعْلَمُونَ ‎﴿٥﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: Sura:[Yunus-5].
Kwa Sharti mufanye siku masa 24 na mwezi siku thalathini na mwaka ni siku mia tatu na stini.


Basi njooni ili mjifunze idadi ya miaka na hesabu kwa usahihi uliokithiri kutokana na upotovu, nasi tutalielekeza swali kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima, utukufu ni wake, na tunasema: Ewe Mwenyezi Mungu je ni muda gani Mtume wa Mwenyezi Mungu Nuh aliwalingania watu wake kumwabudu Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Hana mshirika? Na jawabu limetoka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote; Amesema Allah Ta3ala:
{وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا نُوحًا إِلَىٰ قَوْمِهِ فَلَبِثَ فِيهِمْ أَلْفَ سَنَةٍ إِلَّا خَمْسِينَ عَامًا فَأَخَذَهُمُ الطُّوفَانُ وَهُمْ ظَالِمُونَ ‎﴿١٤﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: Sura:[Alankabut:14].

Basi njoo ujifunze usahihi wa kisa hicho katika zama ambazo Mtume wa Mwenyezi Mungu Nuhu alikaa na watu wake, hivyo kwa mujibu wa fatwa ya Mwenyezi Mungu miaka elfu kasoro miaka hamsini maana yake ni miaka mia tisa na hamsini, basi njoo tuone. Muda gani Nabii wa Mwenyezi Mungu Nuh, Rehema na Amani zimshukie, alikaa na watu wake, na hatutapata kosa hata sekunde moja. Na kwa kutabikisha ya udhibitisho:


Sekunde 29,548,800,000, kwani huo ndio wakati ambapo wito wa Nabii wa Mwenyezi Mungu Nuhu ulitangazwa (sawa na sekunde bilioni ishirini na tisa mia tano arobaini na nane na laki nane)
Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَلَقَدْ جِئْنَاهُم بِكِتَابٍ فَصَّلْنَاهُ عَلَىٰ عِلْمٍ هُدًى وَرَحْمَةً لِّقَوْمٍ يُؤْمِنُونَ ‎﴿٥٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al3adhim: Sura:[Alaaraf-52].


Hakika Yeye Anajua (Subhaanahu wa Ta'ala) kwamba ardhi inazunguka kwa Nafsi yake katika masaa 24 tangu kuchwa kwa jua hadi kuzama kwa jua.
Kila mmoja kulingana na mpangilio wake, hata ikiwa mchana ni masaa 14 na usiku ni masaa kumi, kwa hivyo kwa hakika kutoka kwa jua hadi kuzama kwa jua kuna masaa 24. Kadhalika, ikiwa urefu wa usiku ni masaa kumi na nne na mchana ni masaa kumi wakati wa baridi, basi kutoka kwa jua hadi kuzama kwa jua ni masaa 24; kila moja kulingana na upeo wake wa machweo katika majira ya baridi kali, masika, vuli, au kiangazi, kwa hiyo kuanzia machweo hadi machweo ya jua kuna saa 24; Kila mmoja kulingana na upeo wa machweo ya siku yake kwa upeo wa magharibi, kwa hivyo hata kama urefu wa siku yake ulikuwa masaa tisa na urefu wa usiku ulikuwa masaa kumi na tano, kwa hivyo kutoka kwa jua hadi kuzama kwa jua ni masaa 24, kwa sababu kilichochukua mchana kubadilishwa na usiku, na kile kilichochukua usiku kilibadilishwa na urefu wa siku.
Almuhim ni kwamba tangu kuzama kwa jua hadi kuzama kwa jua kuna masaa 24, kisha tunarudi kugawanya sekunde kwa idadi ya miaka na hesabu ya wakati ambao Nabii wa Mwenyezi Mungu Nuhu alikaa na watu wake, ambayo ni miaka elfu kasoro. miaka hamsini, yaani miaka 950.


Isipokuwa kwamba vitengo vya hesabu katika kitabu vinahesabiwa kwa sekunde, na tutamkuta Nuhu ameka na watu wake:
29,548,800,000 = sekunde.


Kwa kuwa sekunde zimegawanywa na sitini kuunda dakika kama ifuatavyo:
29,548,800,000 ÷ 60 = dakika 492,480,000.


Kwa kuwa dakika zimegawanywa na sitini na kuunda masaa kama ifuatavyo:
492,480,000 ÷ 60 = saa 8,208,000.


Kwa kuwa saa zimegawanywa na 24, siku huundwa kama ifuatavyo:
8,208,000 ÷ 24 = siku 342,000.


Na kwa kuwa siku zimegawanywa na thelathini kuunda miezi kama ifuatavyo: 342,000 ÷ 30 = miezi 11,400.


Na kwa vile idadi ya miezi katika Al’Quran Al’3adhim ni miezi kumi na mbili tangu Mwenyezi Mungu alipoumba mbingu na ardhi kama ifuatavyo.
11,400 ÷ 12 = miaka 950 ya ile munavohisabu.


Isipokuwa kwamba munaingia kwenye nyumba kutoka kwa milango Yake kwa kuona mwandamo wa Mwezi kwa jicho la watazamaji (kwa kila mtu anayeona katika eneo wazi), hapa hesabu imewekwa kwa usahihi mkubwa kutoka kwa makosa, hata kwa sekunde moja.


Lakini ikiwa mukibadilisha idadi ya siku za mwaka wa Hijri kuwa sekunde, kisha ugawanye sekunde kwa sitini kuunda dakika, kisha ugawanye dakika kwa sitini kuunda masaa, kisha ugawanye masaa kwa 24 kuunda siku, kisha mUka gawanya siku kwa thelathini ili kuunda miezi. Kisha unagawanya miezi kumi na miwili kuunda miaka; Haingedhibiti kwenu hata kidogo, kama vile hesabu ilivyowekwa ndani ya Al’Quran Al3adhim kuhusu idadi ya miaka ya wakati wa kukaa kwa Nuhu kwa usahihi ulio mbali na upotofu, si kwa sekunde moja. Lakini nyinyi ni watu wajinga, basi ni nini baada ya haki isipokuwa upotofu? Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:
{إِنَّا أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ كَمَا أَوْحَيْنَا إِلَىٰ نُوحٍ وَالنَّبِيِّينَ مِن بَعْدِهِ ۚ وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَعِيسَىٰ وَأَيُّوبَ وَيُونُسَ وَهَارُونَ وَسُلَيْمَانَ ۚ وَآتَيْنَا دَاوُودَ زَبُورًا ‎﴿١٦٣﴾‏}
Sadaqa Allah Al3adhim: Sura[Al’Nisaa:163].


Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{شَرَعَ لَكُم مِّنَ الدِّينِ مَا وَصَّىٰ بِهِ نُوحًا وَالَّذِي أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ وَمَا وَصَّيْنَا بِهِ إِبْرَاهِيمَ وَمُوسَىٰ وَعِيسَىٰ ۖ أَنْ أَقِيمُوا الدِّينَ وَلَا تَتَفَرَّقُوا فِيهِ ۚ كَبُرَ عَلَى الْمُشْرِكِينَ مَا تَدْعُوهُمْ إِلَيْهِ ۚ اللَّهُ يَجْتَبِي إِلَيْهِ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي إِلَيْهِ مَن يُنِيبُ ‎﴿١٣﴾‏ وَمَا تَفَرَّقُوا إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۚ وَلَوْلَا كَلِمَةٌ سَبَقَتْ مِن رَّبِّكَ إِلَىٰ أَجَلٍ مُّسَمًّى لَّقُضِيَ بَيْنَهُمْ ۚ وَإِنَّ الَّذِينَ أُورِثُوا
الْكِتَابَ مِن بَعْدِهِمْ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ مُرِيبٍ ‎﴿١٤﴾‏ فَلِذَٰلِكَ فَادْعُ ۖ وَاسْتَقِمْ كَمَا أُمِرْتَ ۖ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ ۖ وَقُلْ آمَنتُ بِمَا أَنزَلَ اللَّهُ مِن كِتَابٍ ۖ وَأُمِرْتُ لِأَعْدِلَ بَيْنَكُمُ ۖ اللَّهُ رَبُّنَا وَرَبُّكُمْ ۖ لَنَا أَعْمَالُنَا وَلَكُمْ أَعْمَالُكُمْ ۖ لَا حُجَّةَ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمُ ۖ اللَّهُ يَجْمَعُ بَيْنَنَا ۖ وَإِلَيْهِ الْمَصِيرُ ‎﴿١٥﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: Sura[Al-Shura-13.14.15].


Kwani kiasi gani niliwashauri, lakini hamupendi wanao toa nasaha.

Waya Subhana Rabi! Hakika Sasa mumekua munahisi kweli kukaribia kwa sayari ya Saqar, na kwamba ardhi yenu kweli inaugua homa. Basi vipi mnawafuata mulhidina makafiri kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote ambao wanaita adhabu ya Mwenyezi Mungu kua ni majanga ya hali ya hewa kwa sababu ya ongezeko la joto duniani kutokana na Dioksidi kaboni? Wallahi nikiwafananisha watetezi wa nadharia hii na wanyama, Basi nitakua niliwatukana wanyama kwa sababu wamepotea kuliko wanyama.
(Wale wanaojitenga na Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, na wale wanaofuata kashfa za ongezeko la joto.) Na ilitangulia fatwa ya Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, miaka kumi na tisa iliyopita (Kulingana na hisabu yenu) na nikawaonya kwamba hali ya hewa itapanda kwa sababu ya kukaribia sayari ya adhabu (Saqar), Kusadikisha Waadi ya Mwenyezi Mungu. ahadi ndani ya muhkam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim katika Aya yenye maamuzi na iliyo wazi Haihitaji ufafanuz wala tafsiri, kutokana na Aya za Ummu kitabu ambazo baini; Mwenyezi Mungu alitoa habari za kupita kwa sayari ya Saqar katika muhakam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{خُلِقَ الْإِنسَانُ مِنْ عَجَلٍ ۚ سَأُرِيكُمْ آيَاتِي فَلَا تَسْتَعْجِلُونِ ‎﴿٣٧﴾‏ وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا الْوَعْدُ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ ‎﴿٣٨﴾‏ لَوْ يَعْلَمُ الَّذِينَ كَفَرُوا حِينَ لَا يَكُفُّونَ عَن وُجُوهِهِمُ النَّارَ وَلَا عَن ظُهُورِهِمْ وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ ‎﴿٣٩﴾‏ بَلْ تَأْتِيهِم بَغْتَةً فَتَبْهَتُهُمْ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ رَدَّهَا وَلَا هُمْ يُنظَرُونَ ‎﴿٤٠﴾
Sadaqa Allah Al’3adhim: Sura[Al-anmbia-37:38:39:40].

Allahuma nimebalighisha Allahuma Shuhudia.

Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Wote Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.
خليفةُ الله على العالَم بأسرِه الإمام المَهديّ ناصِر مُحَمَّد اليمانيّ.
___


[لقراءة البيان من الموسوعة]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=421682



======== اقتباس =========